Page Nav

HIDE

Breaking News:

latest

MANARA ATUPA DONGO JINGINE LA KEJELI YANGA

Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amekuja na kali nyingine juu ya watani zake wa jadi Yanga kuhusiana na michango wanayochan...


Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amekuja na kali nyingine juu ya watani zake wa jadi Yanga kuhusiana na michango wanayochangisha uwanjani.

PAKUA APPLICATION YETU   CLICK TO DOWNLOAD

Manara ameeleza kuwa kuelekea mechi yao na AS VITA ya Ligi ya Mabingwa Afrika watachangisha kupitia michango ya mashabiki wataongia uwanjani na si kwa kutumia bakuli.

PAKUA APPLICATION YETU   CLICK TO DOWNLOAD

Kauli ya Manara imekuja kutokana na watani zao Yanga kutumia fursa wakati wa mechi kuchangisha viwanjani fedha ili kuisaidia klabu yao inayopitia kipindi cha mpito.


PAKUA APPLICATION YETU   CLICK TO DOWNLOAD

No comments