Barca yamweka kiporo Pogba
Barcelona wameripotiwa kwamba wamemweka kiporo kiungo wa Manchester United, Paul Pogba na kwamba watamfungia kazi ya kumsajili kwenye ...
Barcelona wameripotiwa kwamba wamemweka kiporo kiungo wa Manchester United, Paul Pogba na kwamba watamfungia kazi ya kumsajili kwenye ...
Shirikisho la Soka nchini (TFF) eo linakutana na uongozi wa klabu ya Simba kunako makao makuu yaliyopo mitaa ya Karume, Ilala, Dar es Sala...
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, amewataka viongozi wa klabu hiyo kutotetereka juu ya viongozi wake baadhi kuitwa kwe...
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu duniani (FIFA), Gianni Infantino, leo amekutana na Rais wa Marekeni Donald Trump na kupata wasaa wa k...
Aliyekuwa video vixen ila kwa sasa muimbaji wa Bongo Fleva, Gigy Money ni miongoni mwa wasanii watakaosikika katika wimbo mpya wa DJ ...
Kocha Mkuu wa Simba, Mbeligiji Patrick Aussems, amewataja nyota kadhaa wa timu hiyo ambao wamekuwa kivutio kikubwa kwake tangu aanze kazi ...
Kocha mkuu wa timu ya Azam FC, Hans van Der Pluijm, amesema kuwa mipango yake kwa sasa ni kuhakikisha kwamba wanafanikiwa kushinda mechi z...
Mshambuliaji wa PSG, Neymar juzi alitua kwenye timu yake ya zamani ya Barcelona na kukutana na wachezaji wenzake wa zamani. Neymar alitua ...
Kikosi cha Yanga kimewasili salama huko Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Rayon Sports kesho Jumatano. ...
Kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Mbeya City FC 1. Aishi Manula 2. Nicholas Gyan 3. Asante Kwasi 4. Erasto Nyoni 5. Pascal Wawa 6. ...
Wakati kikosi cha Simba kikiwa katika maandalizi kabambe ya kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City utakaopigwa Jumatatu ...
Uongozi wa Yanga kupitia kwa Ofisa Habari wake, Dismas Ten, umeomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza kwa kuchelewa kutangaza jezi kw...
Jose Mourinho amewaambia rafiki zake kwamba angeweza kujiuzulu kutoka klabu nyingine yoyote kufikia sasa ila si Manchester United. Kocha h...
Mashabiki wa Manchester United wamelipia bango kubwa litakalokuwa linapepea hewani wakati wa mchezo kati ya timu yao dhidi ya Burnley liki...
KRC Genk sasa ni moja ya timu maarufu sana hasa nchini Tanzania na hii ni kutokana na Mbwana Samatta. Samatta anakipiga Genk ya Ubelgi...
Mshambuliaji hatari wa KRC Genk, Mbwana Ally Samatta amefunga mabao matatu wakati timu yake ikiitwanga Brondby IF kwa mabao 5-2. Me...
Baada ya kuonesha kipaji maridhawa kwa mechi kadhaa alizochezwa, imeelezwa kuwa uongozi wa Manchester United kupitia wakala wake umeanza h...
Wakati mwingine najiuliza nn wanadaamu wanataka?hasa washabiki wa Mpira!! Nimetalii kdogo kwenye magroup machache ya Wanasimba kwenye What...