kuelekea mchezo wa michuano ya ligi ya mataifa ya ulaya UEFA NATION LEAGUE kati ya England ikipambana na Spain ambapo kocha mkuu wa...
kuelekea mchezo wa michuano ya ligi ya mataifa ya ulaya UEFA NATION LEAGUE kati ya England ikipambana na Spain ambapo kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya England amesema kuwa moja kati washambuliaji bora wa kati Harry Kane ni hatari zaidi yupo katika kiwango cha dunia
akifafanua kwamba mfano kwamba waangalie Messi na Ronaldo ndipo utaona pia muonekano wa Harry Kane kama Namba tisa bora kwa dunia baada ya kushinda mfungaji bora katika michuano ya Fifa world cup 2018 Russia na kushinda kiatu cha dhahabu ama unaweza kusema Golden Boot
No comments