Msanii wa muziki Bongo, Jux amefunguka kuhusu tetesi za Vanessa kuwa mjamzito pamoja na ishu ya kufunga ndoa. "Hamna chochote, nadh...
Msanii wa muziki Bongo, Jux amefunguka kuhusu tetesi za Vanessa kuwa mjamzito pamoja na ishu ya kufunga ndoa.
"Hamna chochote, nadhani ni vitu viwili viligongana, ikitokea mtajua kama ni vitu ambavyo vipo tayari. Tunajaribu kuweka vitu vyetu binafsi lakini kwa jinsi maisha yalivyo inakuwa ni ngumu," amesema.
"Ni moja ya hatua za maisha, Mwenyenzi Mungu akinipa nafasi nahitaji kuvikamilisha, ndoa iwepo, watoto. Nadhani hicho ni kitu kikubwa kwenye maisha, hizo hatua ukizipita unaona nafasi yangu wakati nipo duniani kuna kitu nimekifanya," amesema Jux.
No comments