Kylian Mbappe amevunja rekodi nyingine wikiendi na kuweza kufananishwa na legend kutoka Brazil PELE katika umiri mdogo wa Miaka19. ...
Kylian Mbappe amevunja rekodi nyingine wikiendi na kuweza kufananishwa na legend kutoka Brazil PELE katika umiri mdogo wa Miaka19. Hii ni baada ya kuwa Mchezaji mdogo zaidi chini ya miaka 20 kufunga magoli 30 katika ligi ya ufaransa maarufu kama Ligue 1
Tuangalie rekodi ambazo Kylian Mbappe ameziweka mpaka sasa
MCHEZAJI WA CHINI MIAKA KUFUNGA MAGOLI 30 KATIKA LEAGU ONE
Mbappe ametimiza magoli hayo ambapo 15 amefunga akiwa katika timu ya Monaco na 16 amefunga akiwa PSG nakutimiza jumla ya magoli 31
MCHEZAJI MDOGO ZAIDI KUTOKA FRENCH KUFUNGA KATIKA FAINALI KOMBE LA DUNIA
Baada ya kufunga katika fainali ya kombe la dunia dhidi ya croatia katika ushindi wa 4-2
kuchukua tunzo ya mchezaji bora kijana katika mashindano hayo yaliyofanyika RUSSIA 2018
MCHEZAJI MDOGO ZAIDI KUWA KATIKA KUMI BORA YA BALOON D OR
MFUNGAJI BORA MDOGO ZAIDI KATIKA KLABU YA MONACO
Hizo ni Baadhi Rekodi anazozishikilia KYLIAN MBAPE
No comments