Kipa wa Kimataifa wa Columbia David Ospina amejiunga na Napoli Baada ya kutokuwa uhakika wa kupewa nafasi ya kucheza katika kikosi cha...
Napoli inayoshiriki Serie A na Uefa champion league imemsajili kwa mkopo wa msimu mzima hivyo mpaka pale ligi zitakapomalizika hata hivyo Arsenal imemtakia kila heri katika maisha mapya katika timu ya Napoli
No comments