Page Nav

HIDE

Breaking News:

latest

Baada ya Wizkid na Diddy; Sasa ni Nasty C na 50 Cent

Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka nchini Afrika Kusini, Nasty C amekutanja na msanii wa muziki huo kutokea Marekani, 50 Cent. Nasty C...




Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka nchini Afrika Kusini, Nasty C amekutanja na msanii wa muziki huo kutokea Marekani, 50 Cent.

Nasty C ambaye kwa sasa yupo Marekani, ameshare picha akiwa na 50 kwenye mazungumzo ambapo haijafahamika ni nini wanapanga kufanya. Kupitia Intagram ameandika; 

He said “if they say sum about your hair again get the strap” 🤷🏽‍♂️ #StringsAndBling #ThisIs50

Kwa sasa wasanii wengi wa Afrika wamekuwa wakikutana na wasanii wa Marekani mara kadhaa, hivi karibuni Wizkid wa Nigeria alikutana na Diddy kwa ajili ya kuandaa Album yake ya nne. 

RNGM blog

No comments