Maurizio Sarri amesema kuwa Alvaro Morata anakabiliana na masuala ya ujasiri baada ya kufunga mara tatu tu mwaka huu Sarri anaamini kwa...
Maurizio Sarri amesema kuwa Alvaro Morata anakabiliana na masuala ya ujasiri baada ya kufunga mara tatu tu mwaka huu
Sarri anaamini kwamba Morata anaweza kurudi katika hali yake ya kufunga mabao anahitaji ujasiri na kufunga mabao
Sarri ambaye wikiendi hii atakabiliana na Arsenal mchezo ambao utapigwa katika dimba la
Stamford Bridge
Akizungumza katika mkutano na waandishi habari amesema Morata ni mcheza mzuri anahitaji muda na ujasiri kurudi katika upachikaji mabao ambao ni kazi ya kila mshambuliaji akiwa uwanjani
kuhusu Arsenal Sarri anaamini ni timu zuri yenye kocha ambaye amechukua europa league akiwa na sevilla misimu mitatu mfululizo anadhani arsenal ni wapinzani wazuri katika kuwania nafsi nne bora za juu katika ligi ya epl
mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho mnamo majira ya saa 1.30 usiku
No comments