Aliyekuwa video vixen ila kwa sasa muimbaji wa Bongo Fleva, Gigy Money ni miongoni mwa wasanii watakaosikika katika wimbo mpya wa DJ ...
Aliyekuwa video vixen ila kwa sasa muimbaji wa Bongo Fleva, Gigy Money ni miongoni mwa wasanii watakaosikika katika wimbo mpya wa DJ wa Diamond Platnumz, Romy Jons.
Gigy Money ameingiza verse yake ndani ya studio za Suprise Music chini ya producer Rash Doni, wimbo huo mpya ambao bado haujafahamika jina lake tayari Country Boy ameshaingiza verse yake pia.
Gigy Money ameingiza verse yake ndani ya studio za Suprise Music chini ya producer Rash Doni, wimbo huo mpya ambao bado haujafahamika jina lake tayari Country Boy ameshaingiza verse yake pia.
Bila shaka wimbo huo utakuwa wa pili kutoka kwa Romy Jones mara baada ya ule Bora Iwe aliyofanya na Barakah The Prince.
Mwezi Mei mwaka huu Romy Jons/Rj The Dj alifanya mahojiano na BBC Swahili ambapo alieleza kuwa ana mipango ya kuachia albamu na Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii watakaokuwepo
Mwezi Mei mwaka huu Romy Jons/Rj The Dj alifanya mahojiano na BBC Swahili ambapo alieleza kuwa ana mipango ya kuachia albamu na Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii watakaokuwepo
No comments